Books
Quotes
Blog
Author Program
Sign In
Sign Up
Directories: By Author By Tag Submit a Quote

Quotes Tagged "waisraeli"

Palestina ni nchi ya Waisraeli waliyopewa na Mungu wa Yakobo. Hata hivyo, hawakutimiza masharti. Mungu aliwaagiza kuua kila mtu katika nchi ya Kaanani na miji yake yote. Waisraeli, wakiongozwa na Yoshua, waliua watu wengi katika nchi ya Kaanani. Hawakuua kila mtu katika miji ya Ashdodi, Gathi na Ukanda wa Gaza kama walivyoagizwa. Mungu alimwambia Ibrahimu kuwa angempa yeye na uzao wake nchi ya Kaanani kuwa milki yao ya milele, na kuwa Yeye ndiye angekuwa Mungu wao daima. Vita ya Israeli na Palestina itamalizwa na Mungu. Itamalizwa na hekima.
— Enock Maregesi
Tags: yoshua, yakobo, wisdom, watu, war, waisraeli, vita, uzao, ukanda-wa-gaza, person, people, palestine, palestina, mungu, mtu, milki, milele, masharti, kingdom, kaanani, jacob, israelites, ibrahimu, hekima, god, generation, gaza-strip, gathi, gath, forever, conditions, canaan, ashdodi, abraham
  • About
  • Contact Us
  • Terms and Conditions
  • Community Guidelines
  • Privacy Policy
© WSIRN 2025, Made with ❤ in Tokyo & Bali.